Everyone is gifted – but some people never open their package!

 

Kila mtu amezawadiwa, lakini baadhi ya watu hawafungui maboksi yao.

Kama unajiona wewe ni mtu ambaye huna bahati au huna kipaji chochote na kuna wengine ndio bora zaidi basi hujajijua vizuri. Kaa chini na utafakari kwa kina utaiona zawadi kubwa iliyoko ndani yako.

Nakutakia kila la kheri.

TUKO PAMOJA.