*2023; Hii Hapa Siri Kuu Ya Mafanikio*

Rafiki Yangu Mpendwa,

*Siri Kuu Ya Mafanikio Ni Kuwa Tayari Pale Fursa Inapokuja.- Benjamin Disraeli.*

Wengine huita kuwa na bahati, lakini kwa uhalisia, bahati ni pale maandalizi yanapokutana na fursa.

Hakikisha mara zote una maandalizi ya kutosha kwenye lile eneo unalofanyia kazi au biashara,

… na pale fursa zinapokuja na kukukuta una maandalizi, wengine watasema una bahati.

Wasichojua ni kwamba ulikazana kujiandaa kabla.

By the way, kama unataka kuongeza kipato chako mara 4 zaidi mwaka huu,

…nakushauri uanze kujiandaa mapema kwa kusoma vitabu hivi vitatu (3),

*Elimu Ya Msingi Ya Fedha , Elimu Ya Msingi Ya Biashara na Chuo Cha Mauzo*.

Kupata Zana hizi Sasahivi Ni rahisi sana, piga simu *0752977170*.

Kisha Utaletewa Kama Upo Hapa Dar es salaam Na Kama Upo Mkoani Usiwe Na Wasiwasi Utatumiwa.

Karibu Sana Tukuhudumie.

*wa.me/255752977170*

Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekujali Sana,

Bwana Amiri Ramadhani |CopywriterOfSomaVitabuTanzania||MjasiriamaliMjanja|