
Jinsi James Alivyoongeza Ufanisi Wake Kazini Ndani Ya Siku 10Tu!
Na Wewe Unaweza.
Masaa 2000 yaliyopita James alikuwa hana raha kabisa kwasababu ufanisi wake kazini ulikuwa chini sana.
Hali iliyopelekea kuona kama anaonewa, na kuendelea kuwalalamikia aliokuwa anajihusisha nao nakuona kama wanamtenga.
Kilichokuwa kina muumiza zaidi ni kwamba alikuwa anaweka juhudi kubwa sana,
…lakini matokeo aliyokuwa anayapata ni madogo sana.
Na ilimchukua siku 10 Tu kubadili hali yake lakini mtu mwingine akiwa mzembe inaweza kumchukua miaka mitano (5) ili kupata matokeo.
Alijaribu kutafuta kila njia ili aweze kuongeza ufanisi wake kazini,
…lakini aliambulia kujisikia vibaya kwasababu alikuwa akirudia kufanya mambo yaleyale kwa namna ile ile na kupelekea kupata matokeo yaleyale.
Hivyo Mambo yalianza kubadilika baada ya kukutana na kitabu cha UNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA Na KANUNI YA SIKU YA MAFANIKIO.
Na baada ya kupita siku 10 James Ameongeza Ufanisi Wake Kazini , Na Anaifurahia Kazi Yake.
Ukitaka Kuungana Na James Basi Bonyeza Hapo chini Sasahivi,
Na Hii Meseji Imeandikwa Na Rafiki Yako.Anayekujali Sana,
Bwana Amir Ramadhani,
Ni |CopywriterOfSomaVitabuTanzania| |SalesConsultant|