‎Kaka/Dada…

‎Wacha nikukumbushe ukweli mchungu…

‎Wateja hawakusahau kwa sababu hawakupendi.

‎Walikusahau kwa sababu wewe mwenyewe uliwasahau!

‎Uliwahi mtumia ofa mara moja, ukapotea.

‎Uliwahi mtumia bidhaa nzuri sana halafu ukaingia mitini.

‎Haujawahi hata kumkumbusha kuhusu bidhaa mpya au punguzo.

‎Halafu unalalamika:

‎*Wateja siku hizi wamekuwa wagumu…*

‎Sio wagumu kaka ni wewe tu umelegea kimawasiliano.

‎Ukiendelea Kusahau Kuwa Kumbusha, Utaendelea Kupoteza Biashara Kwa Mikono Yako Mwenyewe.

‎Wakati unashindana kwenye bei, wengine wanatumia mfumo wa kumbusha SMS.

‎Wanakumbusha:

Habari! Leo tuna punguzo la 30% kwa wateja wetu wa zamani.

‎“Ulikuwa hujakamilisha oda yako? Tunakupatia nafasi leo.*

‎Bidhaa ile uliyoulizia, imerudi. Tukuhifadhie moja?*

‎Sasa fikiria… kati ya wewe unayenyamaza kimya, na mwenzako anayekumbusha nani atauza?

‎Jibu unalo.

‎Ngoja Nikufundishe Siri Ambayo Wafanyabiashara Wakubwa Wanatumia  Na Wewe Unaweza Kuiiga Leo.

‎Biashara kubwa hazitegemei kumbukumbu tu ya kichwani.

‎Zinatumia mfumo,

‎Mfumo wa kumbuka SMS.

‎Hii kitu ni simple,

‎Unaweka tu namba za wateja, unapangilia ujumbe, na mfumo wenyewe unawatupia SMS bila wewe kusumbuka.

‎Huwezi kusahau tena.

‎Huwezi kupoteza wateja kwa sababu ya ukimya.

‎Na kila siku, unawakumbusha kwa heshima bila kulazimisha.

‎Na ukitaka kujua ukweli:

‎Mauzo hayaji kwa kubahatisha yanakuja kwa kukumbusha.

‎Suluhisho Lipo.

‎Na Ni Rahisi Kuliko Unavyofikiri.

‎Mfumo wetu wa Kumbuka SMS umeundwa kwa watu kama wewe
‎Unayetaka kuuza bila kulilia.

‎Unayetaka kuwaheshimu wateja, bila kuwa kero.

‎Unayetaka kutumia dakika 3 kupanga ujumbe, halafu mfumo unafanyia kazi masaa 24.

‎Unapojua bidhaa zako ni nzuri kazi yako ni kukumbusha tu kwa staha.

‎Na tunakupa support kila hatua, hata kama hujawahi kutumia teknolojia ya aina hii.

‎Wewe tulia, mfumo ukufanyie kazi.

‎Nataka Nikusimulie Mshikaji Wangu Alivyogeuza Mambo Kwa Kumbuka SMS….

‎Alikuwa na duka la nguo pale mjini.

‎Anapata wateja lakini wanapotea fasta.

‎Nilimwambia, boss, acha nikuwekee mfumo wa kumbusha SMS…

‎Wiki ya kwanza, akawakumbusha wateja 53 waliowahi kununua.

‎Majibu 27 yakarudi.

‎13 wakarudi dukani na kununua.

‎Faida aliyopata – ilizidi gharama ya mwezi mzima wa mfumo!

‎Leo ananiambia:

‎“Bila kumbusha SMS, biashara yangu ilikua kama gari bila taa usiku. Leo naona njia mbele yangu!”

‎Na Wewe Leo Una Nafasi Ya Kuwa Kama Yeye.

‎Acha biashara yako isiwe ya kubahatisha.

‎Acha kusubiri wateja wakumbuke wenyewe.

‎Kumbusha kwa akili.

‎Kumbusha kwa staha.

‎Kumbusha kwa mfumo.

‎Kujua zaidi kuhusu mfumo wa KUMBUKA SMS,

‎Ni rahisi sana, Bonyeza hapa 👇

https://wa.link/n65ksb

‎Uone nguvu ya Mfumo wa Kumbuka SMS.

‎Kumbukumbu ni ya binadamu, lakini mauzo ni ya wanaokumbusha.

‎Na wewe unastahili kuwa mmoja wao.

‎Karibu.
‎0756694090.
‎Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan.